Mkuu wa
Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani Akikabidhi hundi ya shilingi milioni 4 kwa Mkuu
wa Shule ya Msingi Singisi ,Safira Ndelwa.Benki hiyo imetoa msaada huo kwa
ajili ya mabati na ukarabati wa madarasa.Picha na Pamela Mollel,Arusha
Mkuu wa Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani Akikabidhi hundi ya shilingi milioni 4 kwa Mkuu wa Shule ya Msingi Singisi ,Safira Ndelwa.Benki hiyo imetoa msaada huo kwa ajili ya mabati na ukarabati wa madarasa
Mkuu wa
Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani akizungumza
katika hafla ya kukabidhi hundi ya milioni 4 kwa ajili ya kusaidia shule ya
msingi Singisi.
Mkuu wa Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani akikabidhi hundi kwa mwanafunzi wa shule ya msingi Singisi
Mkuu wa Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani akipokea zawadi kutoka wanafunzi wa shule ya msingi Singisi.
Picha ya pamoja
Diwani wa
Kata ya Seela Singisi Penzila Palangyo amesema kuwa ushiriki wa sekta binafsi
katika maendeleo ya elimu ni muhimu ili kuhakikisha kuwa sekta ya elimu
inasonga mbele na kusaidia maisha ya watu wengi
Mkuu wa Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani akikabidhi hundi kwa mwanafunzi wa shule ya msingi Singisi
Mkuu wa Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano benki ya CBA,Julius Konyani akipokea zawadi kutoka wanafunzi wa shule ya msingi Singisi.
Picha ya pamoja
CBA YATOA MSAADA WA MILIONI 4 SHULE
YA SINGISI
Na Pamela Mollel,Arusha.
Benki ya CBA
imetoa msaada wa shilingi milioni 4 kwa shule ya msingi Singisi kwa
ajili ya mabati pamoja na ukarabati wa shule hiyo ili kusaidia kutatua
changamoto ya uhaba wa madarasa na uchakavu wa majengo.
Mkuu wa
Idara ya wateja ,masoko na mawasiliano,Julius Konyani alisema kuwa wameamua kutoa msaada huo ili
kusaidia watoto wa kitanzania waweze
kupata elimu bora ambayo itawasaidia kujikwamua kiuchumi na kuondokana na
umasikini.
Julius alisema
kuwa benki hiyo imeamua kurudisha sehemu ya faida kwa wananchi kwa kutoa fedha
hizo licha ya msaada huo wamekua wakisaidia chumba cha watoto njiti kwa kutoa
vifaa vya kitaalamu ili kuokoa maisha ya watoto.
Mkuu wa
Shule hiyo Safira Ndelwa ameshukuru msaada huo ambapo amesema kuwa
msaada huo utawasaidia kumalizia ujenzi wa uzio wa shule hiyo pamoja na
kukarabati majengo ya shule hiyo ambayo ni chakavu.
Hata hivyo
ameiomba benki hiyo iweze kuwasaidia kuwajengea vyumba vya madarasa kwani shule
hiyo inakabiliwa na uhaba wa madarasa hali inayosababisha msongamano darasani
inayowalazimu kuingia darasani kwa awamu huku walimu wakifundisha kwa zamu.
“Tunaomba
benki ya CBA isituache iendelee kutusaidia katika maeneo mengine ambayo kuna
changamoto ili wanafunzi waweze kusoma katika hali bora” Alisema
No comments:
Post a Comment