JUMUIYA YA WAZAZI PAMOJA NA WANANFUNZI WASHIRIKI ZOEZI LA KUPANDA MITI - JAMII BLOG

Jamii Yetu , Maisha Yetu

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday 12 April 2018

JUMUIYA YA WAZAZI PAMOJA NA WANANFUNZI WASHIRIKI ZOEZI LA KUPANDA MITI


Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Enduimet  Bw.Hassan Hamisi  akiotesha mti katika uzio wa shule

Jumuiya ya wazazi wakishirikiana na  wanafunzi a shule ya secondary endumeit wameamizimisha siku ya upandaji Wa miti katika kuotesha miti ya uzio Wa shule hyo.

Akizungumza na wanafunzi hao katibu Wa Ccm wilaya ya longido bw.Simba Gaddafi alipokuwa anaotesha miti katika sekondari hiyo  amesema wameotesha jumla ya miti 3300 ambapo kila kata kwenye  kijiji kiliotesha miti 300.

Pia alitaja alitaja kata za wilaya ya longido ambazo ziliotesha miti hyo ni kamwanga ,olmolog,Tinga Tinga na sinya.


Akizungumza na mitandao ya kijamii,mwalimu  Mkuu Wa shule hiyo bw.Hassan hamis amesema wanafunzi wake wanapata changamoto ya kukutana na  wakali ikiwemo tembo,hata kama wanaotesha miti kuzunga fensi ya shule 

Pia mwalimu alisema wanaiomba serikali isaidie kujenga ukuta kuzunguka shule hyo itawasaidia wanafunzi kuwa katika sehemu salama

Mwalimu Mkuu aliongeza kuwa eneohilo lina tatizo la mawasiliano katika shule hyo hakuna kwahyo hata wanyama wakivyamia  hawezi hata kiwasiliana na maaskari Wa wanyamapori katika eneo hilo

 Mwenyekiti Wa kijiji   cha lerangwa bw.isaya mollel amesema wanapata wasiwasi kutokana na wanyama hao kuja mpaka mabweni ya wanafunzi ikiwemo tembo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here