TIMU YA WAANDISHI WA HABARI ZA VIJIJINI WAFANYA ZIARA WILAYANI KILWA - JAMII BLOG

Jamii Yetu , Maisha Yetu

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday 15 October 2017

TIMU YA WAANDISHI WA HABARI ZA VIJIJINI WAFANYA ZIARA WILAYANI KILWA


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi Zabron Bugingo,akielezea mradi mkubwa wa uoteshaji wa miche ya korosho kwa waandishi wa habari waliohitimu mafunzo ya uwandishi wa habari vijijini Mkoani Morogoro pindi walifanya ziara katika halmashauri hiyo jana.(Picha na Pamela Mollel)


Picha ikionesha miche ya korosho ikiwa katika hatua ya awali ya uoteshwaji. 

Picha ikionesha jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi.

Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohitimu mafunzo ya uwandishi wa habari za vijijini wakiwa katika boti kuelekea katika ziara ya kuona na kujifunza magofu ya kale kisiwani kilwa.

Mkazi wa Kilwa Masoko akiwa amebeba beseni la Samaki tayari kwa kufanyashughuli za ujasiliamali.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya kilwa Zabron Bugingo akiwa ameambatana na timu ya waandishi wa habari waliohitimu mafunzo ya uandishi wa habari za vijijini katika ziara kisiwa cha kilwa Masoko.

Baadhi ya waandishi wa habari walihitimu mafunzo ya uandishi wa habari za vijijini wakiwa wameshuka katika boti tayari kwa kuanza ziara katika mji wa kihistoria Kilwa Masoko.

Mkuu wa kitengo cha uhifadhi katika  mji wa kihistoria kilwa Revocatus Wejja,akitoa maelezo kwa waandishi wa habari walihitimu mafunzo ya uandishi wa habari za vijijini pindi walipofanya ziara katika eneo hilo.
Moja ya eneo katika mji wa kihistoria kilwa Masoko ambapo panadaiwa kuwa nyumba za kale zilifunikwa.
Moja ya waandishi wa habari waliokuwa katika ziara hiyo Felician Shija akiangalia eneo linalodaiwa kufukiwa nyumba za wakoloni katika kisiwa cha kilwa Masoko.
Picha ikionesha shule ya Msingi Kisiwani iliyopo jirani na Mji wa kihistoria wa kilwa masoko.
Baadhi ya waandishi wa Habari Adam juam na Agustino Kihombo wakiwa katika jiwe la shule ya Msingi Kisiwani iliyopo jirani na Mji wa Kihistoria Kilwa Masoko.
Baadhi ya Makabuli ya wakoloni yaliypo katika kisiwa cha kilwa masoko.


Mkuu wa kitengo cha uhifadhi katika  mji wa kihistoria kilwa Revocatus Wejja,akitoa maelezo kwa waandishi wa habari namna watakavyoboresha mlango wa msikiti ambao ulikuwa ukitumika na wakoloni katika kisiwa cha kilwa msoko kushoto Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Zabron Bugingo,



Mkuu wa kitengo cha uhifadhi katika  mji wa kihistoria kilwa Revocatus Wejja,akiwaonyesha waandishi wa habari sehemu ya kuchanganyia chokaa kwaajili ya kuboresha majengo hayo

Mkuu wa kitengo cha uhifadhi katika  mji wa kihistoria kilwa Revocatus Wejja,akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusiana na gereza ambalo lilikuwa likitumika na wakoloni


Jengo la msikiti ambao ulikuwa ukitumika na wakoloni katika kisiwa cha kilwa masako 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here