ARUSHA PRESS CLUB YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE KUJIONEA VIVUTIO MBALIMBALI - JAMII BLOG

Jamii Yetu , Maisha Yetu

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday 11 September 2017

ARUSHA PRESS CLUB YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE KUJIONEA VIVUTIO MBALIMBALI

 Mhifadhi katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire Beatrice Ntambi akizungumza na waandishi wa chama cha waandishi mkoani Arusha(APC)waliokwenda kutembelea  hifadhi hiyo kwa lengo la kujifunza na kutangaza utalii wa ndani
 Sehemu ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini
 Mratibu wa Arusha Press Club Seif Mangwangi akiorodhesha majina ya waandishi wanaoingia katika hifadhi ya Tarangire katika ziara ya mafunzo pamoja na kutangaza utalii wa ndani
 Picha ikionyesha fuvu la mnyama aina ya Tembo
 Sehemu ya makundi makubwa ya tembo wanaopatikana katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire
 Twiga wakionekana vizuri katika hifadhi ya Tarangire
 Tembo wakizunguka ndani ya hifadhi ya Tarangire
 Katika hifadhi hii utakuta  aina ya miti mikubwa ya mibuyu inayosadikika kuishi mamia ama maelfu ya miaka ambayo pia ni kivutio kikubwa katika hifadhi ya Tarangire
 Wanahabari wakichukua taswira katika hifadhi ya Tarangire
 Wanahabari wakichukua Selfiee kabla ya kuanza safari keelekea kujionea vivutio ndani ya hifadhi ya Tarangire

 Makundi ya Tembo yakiwa katika hifadhi ya Tarangire
Baadhi ya wanachama wa Arusha Press Club wakiwa katika picha ya pamoja katika lango la kuingilia katika hifadhi ya Taifa Tarangire

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here